TAARIFA ZA ADA

Taarifa za Ada ya Shule

Ukurasa huu unaonesha ada ya shule, ratiba ya malipo na akaunti rasmi za malipo za St. James Kilolo Secondary School.

Kidato cha Kwanza hadi Kidato cha Nne

Ada ya shule kwa mwaka ni:

Tsh 1,750,000/=

Mwanafunzi anaweza kulipa ada yote katika muhula wa kwanza au kulipa kwa awamu kama ilivyooneshwa kwenye jedwali hapa chini.
MweziKiasi cha Kulipa
JanuariTsh 437,500/=
ApriliTsh 437,500/=
JulaiTsh 437,500/=
SeptembaTsh 437,500/=
JumlaTsh 1,750,000/=

Kidato cha Tano

Ada ya shule kwa mwaka ni:

Tsh 1,750,000/=

Malipo yote yafanyike kama inavyooneshwa kwenye jedwali hapa chini. Mzazi anaweza kulipa zaidi ya kiasi kilichopangwa, lakini si chini ya kiasi cha awamu husika.
MweziKiasi cha Kulipa
JulaiTsh 583,500/=
NovembaTsh 583,500/=
ApriliTsh 583,000/=
JumlaTsh 1,750,000/=

Akaunti Rasmi za Malipo

Fedha zote zilipwe kupitia akaunti zifuatazo kwa jina la St. James Kilolo Secondary.

Mkombozi Bank Akaunti Na. 01111511756501
CRDB Bank Akaunti Na. 0150242287300
NMB Bank Akaunti Na. 62310001493

Maelekezo Muhimu kwa Mzazi/Mlezi

Hakikisha malipo yanafanyika kwenye akaunti rasmi za shule. Baada ya kufanya malipo, mzazi au mlezi anatakiwa kuhifadhi risiti au uthibitisho wa malipo kwa ajili ya kumbukumbu na uthibitisho shuleni.