FORM FIVE joining instruction
Joining Instruction Kidato cha Tano
Taarifa Muhimu za Shule
ShuleSt. James Kilolo Secondary School
MahaliKilolo, Iringa - Tanzania
Namba ya UsajiliS.4401
Shule ipo Wilaya ya Kilolo, takribani kilomita 32 kutoka Iringa mjini, barabara kuu iendayo Kilolo.
Ada ya Shule
Ada ya shule kwa mwaka ni Tsh 1,750,000/=.
- Julai: Tsh 583,500/=
- Novemba: Tsh 583,500/=
- Aprili: Tsh 583,000/=
Malipo yafanyike kupitia akaunti rasmi za shule: Mkombozi Bank 01111511756501, CRDB 0150242287300, au NMB 62310001493. Akaunti zote ni kwa jina la St. James Kilolo Secondary.
Mahitaji Muhimu ya Mwanafunzi
- Sare za shule kulingana na jinsia ya mwanafunzi.
- Mashati meupe ya mikono mirefu, viatu vyeusi, soksi nyeupe na tai nyeusi.
- Mashuka mawili, blanket zito, mto wa kulalia na chandarua.
- Ndoo ya plastiki, vyombo vya chakula vya aluminium, taulo na godoro.
- Daftari zisizopungua dazeni moja, rimu za karatasi A4 na nakala ya cheti cha kuzaliwa.
- Tochi, jembe lenye mpini, kwanja, soft broom na squeezer.
Jaza Taarifa za Mwanafunzi
Mzazi au mlezi ajaze taarifa hapa chini kisha abonyeze kutuma WhatsApp.